Friday, May 31

K' LYNE AWEKA WAZI UHUSIANO WAKE NA REGINALD MENGI

 


Kumekuwepo na Minong'ono mingi lakini hapakuwa na ushahidi wa hili mpaka mwanadada huyo alipoamua kuanika hadharani kuwa mheshimiwa Reginald Mengi ndiye baba halali wa mapacha wake wawili. 

Hongera Mmiliki  wa makampuni ya IPP bwana REGINALD mengi kwa kumiliki mtoto mkali  Jackline Ntuyabaliwe(K'lyne)  ....

Hiyo ndo Tweet ya K'lyne kwa mpenzi wake Mh. MENGI

No comments:

Post a Comment

Search This Blog