Wednesday, February 20

CHADEMA yatikisa Mwanza, Furahisha pamekucha

Ni uzinduzi wa Kanda ya Ziwa Magharibi, mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera. Ni baada ya kuzindua Kanda ya Kaskazini jana Jijini Arusha leo ni Jijini Mwanza. Mkutano wa hadhara ndiyo umeanza baada ya kikao cha ndani kwa muda mfupi baada ya Mwenyekiti Mbowe kuingia jijini kutokea Kilimanjaro leo mchana.
 
M/kiti wa Chadema, F. Mbowe amempa wiki mbili Waziri wa Elimu, Kawambwa awe amejiuzulu, la sivyo maandamano ya kufa mtu!

M/kiti taifa (CHADEMA) akiwasili pamoja na viongozi wengine.




Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutanao



Chini ni Alphonce Mawazo maarufu kama 'Kamanda Mawazo'
Attached Thumbnails Attached ThumbnailsClick image for larger version. 

Name: cdm-2013-1.jpg 
Views: 0 
Size: 135.0 KB 
ID: 83809   Click image for larger version. 

Name: 1.jpg 
Views: 0 
Size: 122.2 KB 
ID: 83806   Click image for larger version. 

Name: 5.jpg 
Views: 0 
Size: 119.3 KB 
ID: 83807   Click image for larger version. 

Name: 3.jpg 
Views: 0 
Size: 43.8 KB 
ID: 83803   Click image for larger version. 

Name: 2.jpg 
Views: 0 
Size: 55.9 KB 
ID: 83804   Click image for larger version. 

Name: 4.jpg 
Views: 0 
Size: 53.1 KB 
ID: 83805   Click image for larger version. 

Name: mawazo.JPG 
Views: 0 
Size: 168.1 KB 
ID: 83818   Click image for larger version. 

Name: umati-mwanza.JPG 
Views: 0 
Size: 212.1 KB 
ID: 83820   Click image for larger version. 

Name: mbowe-freeman-mwanza.JPG 
Views: 0 
Size: 204.8 KB 
ID: 83822   Click image for larger version. 

Name: umati-mwanza-2.JPG 
Views: 0 
Size: 170.8 KB 
ID: 83823  

No comments:

Post a Comment

Search This Blog