Monday, February 18

DIAMOND ALINASA PENZI LA PENNY WA DTV....NI BAADA YA WEMA, JOKATE,AVRIL NA WENGINE KIBAO

tagazo

Diamond Platnumz ataendelea kuwa newsmaker kuliko msanii yeyote Tanzania.

 Hauwezi kupita mwezi bila kuibuka kitu kitakachomfanya aandikwe tena na tena. 

IMG_0027
Katika picha iliyowekwa kwenye ukurasa wa Facebook wa msichana aitwaye Skyner Ally kuna picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala usingizi wa pono na msichana anayedaiwa kuwa ni mtangazaji wa DTV, Penny Mungilwa aka Vj Penny.

 Picha hii inajieleza yenyewe kwa pozi walilolaa kuwa ni wapenzi ama ni one night stand?
Diamond na Penny
Hata hivyo tulipowasiliana na Penny alisema hiyo ni picha iliyopigwa walipokuwa kwenye scene ya movie wanayoigiza pamoja ambayo amesema hana uhakika lini itatoka! 

Penny na Diamond  ndani ya  movie?????...!!? Ngoja  tuisubiri hiyo movie

No comments:

Post a Comment

Search This Blog