Monday, February 18

Picha 4 za tukio la kifo cha Padri Mushi huko Zanzibar

Gari alimokuwa Padre Mushi (Shukurani ya picha: Francis Dande)
Gari liliacha uelekeo na kugonga nyumba baada ya Padre Mushi kupigwa risasi (Shukurani ya picha: Francis Dande)
Waziri Dkt Nchimbi (wa pili kushoto) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud na maafisa wengine walipotembelea eneo la tukio leo. (Shukurani ya picha: Francis Dande)
 
Mwili wa Marehemu Pandri Mushi

No comments:

Post a Comment

Search This Blog