Thursday, May 16

Sifa tano za mwanaume anayefaa kuwa mume. (husband material)


Nimeziona mahali .... KWELI? Ukizipenda kandamiza "Share"!

Sifa tano za mwanaume anayefaa kuwa mume. (husband material)

1. Anamuamini Mungu na anashiriki ibada. (He is a believer)
2. Anatoa. Unapofika wakati ukashindwa kabisa kutimiza mambo yanayohitaji fedha daima atajitahidi kukusaidia. (He is a provider)
3. Anafikiria mambo kwa kina na una uwezo wa kukusaidia kufikiri kutatua matatizo au kufanya maaamuzi mbalimbali. (He is a critical thinker)
4. Anajitoa kwa kila hali. Daima hujituma mara nyingi zaidi kufanya umoja wenu uwe imara. (He is a rock)
5. Anaishi maisha yake. Yuko real na haigizi maisha. Anaishi kadiri ya kipato chake. (He's a free spirit)
Nimeziona mahali .... KWELI? Ukizipenda kandamiza "Share"! 

Sifa tano za mwanaume anayefaa kuwa mume. (husband material)

1. Anamuamini Mungu na anashiriki ibada. (He is a believer)
2. Anatoa. Unapofika wakati ukashindwa kabisa kutimiza mambo yanayohitaji fedha daima atajitahidi kukusaidia. (He is a provider)
3. Anafikiria mambo kwa kina na una uwezo wa kukusaidia kufikiri kutatua matatizo au kufanya maaamuzi mbalimbali. (He is a critical thinker)
4. Anajitoa kwa kila hali. Daima hujituma mara nyingi zaidi kufanya umoja wenu uwe imara. (He is a rock)
5. Anaishi maisha yake. Yuko real na haigizi maisha. Anaishi kadiri ya kipato chake. (He's a free spirit)

No comments:

Post a Comment

Search This Blog