Thursday, July 16

UNAPASWA KUJUA MAMBO HAYA SABA KUHUSU MWANAMKE...

1)Anapenda kupungua uzito na pia wakati huo huo ni vigumu kuacha tabia ya kula vyakula vya sukari vinavyomuongezea uzito.

kupunua-uzito
2)Anapretend kuwa hapendi sex, ndio! ila ukweli ni kwamba kila binadamu awe wakiume au wakike, ambaye hapendi ku-do, labda awe mgonjwa au ameshawahi kupatwa na matatizo yakisaikolojia.
hataki-kufanya-mapenzi
3)Anaweza kusema hakupendi, ila anashindwa kujizuia kukufikiria kila siku.
asante wapenzi
4)Katikati ya mwezi unapomkaribisha nyumbani anaweza akatae, ila ikifika mwisho wa mwezi anakuwa mtu wa kwanza kukumbusha kuchukua mshahara wako na kupanga ratiba ya jinsi ya kuitumia.
kachunwa-pesa
5)Siku zote anaweza kukwambia umuongezee vocha kwenye simu yake na utashangaa hadi hela inaisha unaishiwa kubipiwa kila siku ili upige.
anataka-vocha
6)Anakuwa wa kwanza kulia pale utakapomkosea, ila akikukosea huanza kucheka na ku-smile.
demu-analia
7)Kukwambia we ni mbaya, kwake ni utani, ila unapomwambia yeye m’baya, anaweza asikusamehe maishani mwake.
wanabishana-wapenzi

No comments:

Post a Comment

Search This Blog